Jamhuri ya Afrika ya Kati: Am Dafok, mji unaopakana na Sudan, umelengwa na shambulio baya
Watu wenye silaha wamevamia mji huo, ulioko katika mkoa wa Vakaga kaskazini mashariki mwa nchi, alfajiri ya Jumanne, Juni 30, na kuushikilia kwa saa kadhaa. Ingawa idadi ya vifo kutokana na shambulio hilo bado haijulikani katika hatua hii, vyanzo mbalimbali vinalielezea kama shambulio baya.
2026-07-01 04:48:40