Loading

Slzii.com Quaerere

Quaerere (News)

Benin: Baraza la Seneti kumchagua rais wake wa kwanza

Benin: Baraza la Seneti kumchagua rais wake wa kwanza
Rfi swahili politics top

Wiki moja baada ya kuanzishwa kwake, Baraza la Seneti la Benin litamchagua rais wake leo Alhamisi, Agosti 6. Rais mpya wa Baraza la Seneti ambaye atachaguliwa kwa muhula wa miaka mitano, kama inavyoainishwa katika kanuni za ndani za taasisi hiyo, atachaguliwa kutoka miongoni mwa wanachama wa taasisi hiyo mpya. Ingawa uvumi umeenea, wengi wanashuku rais anayeondoka madarakani, Patrice Talon, kutaka kurudi kwenye uwanja wa siasa kupitia njia hii.
2026-08-06 05:04:40

Quid agitis?

0.0077548027038574


News
News

News and Headlines
Wiki moja baada ya kuanzishwa kwake, Baraza la Seneti la Benin litamchagua rais wake leo Alhamisi, Agosti 6. Rais mpya wa Baraza la Seneti a...
News