DRC: Mashirika 65 ya kiraia yanamtaka Felix Tshisekedi kuachana na mradi wa kura ya maoni
swahili politics top
Mashirika ya kiraia sitini na tano kutoka nchini DRC yamemtaka Rais Felix Tshisekedi kuachana na mpango wake wa kura ya maoni iliyopendekezwa na kutotangaza sheria inayoweka masharti ya kufanyika kwake. Katika hati iliyowasilishwa siku ya Jumatatu, Agosti 10, kwa Mkuu wa Nchi na taasisi kuu za nchi, mashirika hayo ya kiraia yanasema kwamba hali ya sasa ya kiusalama, kijamii na kiuchumi hairuhusu kufanyika kwa zoezi kama hili. 2026-08-11 13:21:04
Latest News and Headlines
Mashirika ya kiraia sitini na tano kutoka nchini DRC yamemtaka Rais Felix Tshisekedi kuachana na mpango wake wa kura ya maoni iliyopendekezw...
News