Loading

Slzii.com Search

Search (News)

DRC: Mashirika 65 ya kiraia yanamtaka Felix Tshisekedi kuachana na mradi wa kura ya maoni

DRC: Mashirika 65 ya kiraia yanamtaka Felix Tshisekedi kuachana na mradi wa kura ya maoni
Rfi swahili politics top

Mashirika ya kiraia sitini na tano kutoka nchini DRC yamemtaka Rais Felix Tshisekedi kuachana na mpango wake wa kura ya maoni iliyopendekezwa na kutotangaza sheria inayoweka masharti ya kufanyika kwake. Katika hati iliyowasilishwa siku ya Jumatatu, Agosti 10, kwa Mkuu wa Nchi na taasisi kuu za nchi, mashirika hayo ya kiraia yanasema kwamba hali ya sasa ya kiusalama, kijamii na kiuchumi hairuhusu kufanyika kwa zoezi kama hili.
2026-08-11 13:21:04

What are you doing?

0.01435399055481


News
News

Latest News and Headlines
Mashirika ya kiraia sitini na tano kutoka nchini DRC yamemtaka Rais Felix Tshisekedi kuachana na mpango wake wa kura ya maoni iliyopendekezw...
News