Loading

Slzii.com Search

Search (News)

Walinzi wa Mapinduzi wa Iran wako kayari kukabiliana na 'miezi sita ya vita vikali'
Walinzi wa Mapinduzi wa Iran wametangaza leo Jumapili kwamba wako na uwezo wa kuhimili "angalau miezi sita ya vita vikali" dhidi ya Marekani na Israel. Wanadai kuwa tayari wameshambulia zaidi ya malengo 200 ya Marekani na Israel katika eneo hilo.
2026-03-08 04:41:17

What are you doing?

0.043313026428223


News
News

Latest News and Headlines
Walinzi wa Mapinduzi wa Iran wametangaza leo Jumapili kwamba wako na uwezo wa kuhimili angalau miezi sita ya vita vikali dhidi ya Marekani...
News