nalaganje

Slzii.com Iskanje

Iskanje (Novice)

Ajali ya ambulensi yaua mgonjwa, wanne wakijeruhiwa Korogwe
Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Zaharia Abraham (41), mkazi wa Goha wilayani Korogwe, mkoani Tanga, amefariki dunia kufuatia ajali ya gari la wagonjwa lililokuwa likimsafirisha kwenda Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo kwa ajili ya matibabu, kugongana uso kwa uso na gari la mizigo.
2026-03-01 15:35:09

kaj počneš

0.042963027954102


Novice
Novice

Zadnje novice in naslovi
Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Zaharia Abraham (41), mkazi wa Goha wilayani Korogwe, mkoani Tanga, amefariki dunia kufuatia ajali ya g...
Novice