Loading

Slzii.com Search

Search (News)

Guinea-Bissau: Viongozi wawili wa pinzani wakataa kujiunga na Serikali
Siku chache tu baada ya kupata uhuru wao, viongozi hao wawili wa upinzani wa Bissau-Guinea walikataa kabisa pendekezo kutoka kwa maafisa wa kijeshi waliochukua madaraka katika mapinduzi ya Novemba 26: kujiunga na serikali na kupewa viti 10 katika Baraza la taifa la Mpito. Wote walisema hawakutaka kushiriki katika operesheni iliyokusudiwa tu kuficha taswira ya viongozi wa mapinduzi.
2026-02-03 07:47:19

What are you doing?

0.035223007202148


News
News

Latest News and Headlines
Siku chache tu baada ya kupata uhuru wao, viongozi hao wawili wa upinzani wa Bissau-Guinea walikataa kabisa pendekezo kutoka kwa maafisa wa ...
News