लोड हो रहल बा

Slzii.com तलाशी

तलाशी (खबर)

Guinea-Bissau: Viongozi wawili wa pinzani wakataa kujiunga na Serikali
Siku chache tu baada ya kupata uhuru wao, viongozi hao wawili wa upinzani wa Bissau-Guinea walikataa kabisa pendekezo kutoka kwa maafisa wa kijeshi waliochukua madaraka katika mapinduzi ya Novemba 26: kujiunga na serikali na kupewa viti 10 katika Baraza la taifa la Mpito. Wote walisema hawakutaka kushiriki katika operesheni iliyokusudiwa tu kuficha taswira ya viongozi wa mapinduzi.
2026-02-03 07:47:19

का होता?

0.037329196929932


खबर
खबर

ताजा खबर आ सुर्खियन के खबर बा
Siku chache tu baada ya kupata uhuru wao, viongozi hao wawili wa upinzani wa Bissau-Guinea walikataa kabisa pendekezo kutoka kwa maafisa wa ...
खबर