Kesi ya Epstein: Hillary Clinton ataka Donald Trump asikilizwe na kamati ya bunge
Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Marekani na Mke wa rais wa zamani , Bill Clinton, Hillary Clinton, siku ya Alhamisi, Februari 26, alipinga wakati wa ushahidi wake mbele ya uchunguzi wa bunge kuhusu uhusiano wake na Jeffrey Epstein, akitaka Donald Trump ahojiwe kuhusu uhusiano wake na mhalifu wa ngono dhidi ya watoto.
2026-02-27 07:50:04