Usalama mashariki mwa DRC na vita vya OIF vyatawala mkutano wa Tshisekedi na Macron
Rais wa DRC Félix Tshisekedi amekutana na mwenzake wa Ufaransa, Emmanuel Macron, siku ya Jumatano, Februari 25, katika Ikulu ya Élysée. Chakula cha mchana cha kililenga uhusiano wa pande mbili, hali ya usalama mashariki mwa DRC, na ugombea wa Kongo kwa nafasi ya Katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Francophonie. Hii ni mara ya pili wawiki hao kukutana mjini Paris katika kipindi cha chini ya mwezi mmoja.
2026-02-26 05:31:30