DRC: Felix Tshisekedi ziarani Abu Dhabi kusaini makubaliano kamili ya kiuchumi na UAE
Rais wa Kongo Félix Tshisekedi anafanya ziara nje ya nchi wiki hii. Anatarajiwa nchini Marekani, lakini yuko Abu Dhabi, Falme za Kiarabu, tangu siku ya Jumapili, Februari 1. Ofisi ya rais wa Kongo inaonyesha kusainiwa kwa makubaliano kamili ya kiuchumi kama "ya kihistoria."
2026-02-02 15:16:41