Mashariki mwa DRC: Magari yaliyobeba vifaa vya kibinadamu yashambuliwa katika eneo la Rutshuru
Nchini DRC, lori la MSF lililobeba vifaa vya matibabu limeshambuliwa mnamo Februari 18, 2026, na watu wenye silaha. Shambulio hilo lilitokea Mayi ya Moto, katika eneo la Rutshuru (mashariki mwa DRC), eneo linalodhibitiwa na AFC/M23. Lori hilo lilikuwa njiani kuelekea eneo la afya la Kibirizi.
2026-02-20 15:52:05