Loading

Slzii.com זוכן

זוכן (נייַעס)

Mashariki mwa DRC: Magari yaliyobeba vifaa vya kibinadamu yashambuliwa katika eneo la Rutshuru
Nchini DRC, lori la MSF lililobeba vifaa vya matibabu limeshambuliwa mnamo Februari 18, 2026, na watu wenye silaha. Shambulio hilo lilitokea Mayi ya Moto, katika eneo la Rutshuru (mashariki mwa DRC), eneo linalodhibitiwa na AFC/M23. Lori hilo lilikuwa njiani kuelekea eneo la afya la Kibirizi.
2026-02-20 15:52:05

וואס טוסטו?

0.044758081436157


נייַעס
נייַעס

לעצטע נייַעס און כעדליינז
Nchini DRC, lori la MSF lililobeba vifaa vya matibabu limeshambuliwa mnamo Februari 18, 2026, na watu wenye silaha. Shambulio hilo lilitokea...
נייַעס