Loading

Slzii.com Search

Search (News)

Côte d'Ivoire: Afisa wa CNT wa Mali ahukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela kwa kumtukana rais
Nchini Côte d'Ivoire, Mahakama ya mwanzo ya Abidjan imemhukumu Mahamadou Gassama kifungo cha miaka mitatu jela siku ya Ijumaa, Januari 30, 2026, kwa "kumtukana rais" na "kusambaza maneno ya machafu mtandaoni." Afisa huyu wa Mali kutoka Baraza la Kitaifa la Mpito (CNT) alikamatwa mnamo mwezi Julai 2025, kufuatia ziara ya kibinafsi nchini Côte d'Ivoire.
2026-01-31 07:57:17

What are you doing?

0.051535844802856


News
News

Latest News and Headlines
Nchini Côte d'Ivoire, Mahakama ya mwanzo ya Abidjan imemhukumu Mahamadou Gassama kifungo cha miaka mitatu jela siku ya Ijumaa, Januari 30, ...
News