Memuatkan

Slzii.com Cari

Cari (Berita)

Nigeria yazindua operesheni ya kupambana na ugaidi katika Jimbo la Kwara
Jeshi la Nigeria limezindua rasmi operesheni kubwa ya kupambana na ugaidi siku ya Alhamisi katika Jimbo la Kwara katika eneo la katikati magharibi mwa nchi. Operesheni hii, iliyotangazwa mapema mwezi Februari, inakuja wakati wa kunaripotiwa ongezeko la ukosefu wa usalama unaosababishwa na magenge yenye silaha yanayojikita kwa utekaji nyara na wizi wa mifugo, pamoja na tishio linaloongezeka la wanajihadi, huku makundi yanayoendesha harakati zao kaskazini-magharibi mwa nchi yakienea kusini.
2026-02-20 06:02:51

awak buat apa?

0.041929960250854


Berita
Berita

Berita dan Tajuk Berita Terkini
Jeshi la Nigeria limezindua rasmi operesheni kubwa ya kupambana na ugaidi siku ya Alhamisi katika Jimbo la Kwara katika eneo la katikati mag...
Berita