Loading

Slzii.com זוכן

זוכן (נייַעס)

Msumbiji: Maafisa wawili wa zamani wa vyeo vya juu wahojiwa kuhusu ghasia za baada ya Uchaguzi
Nchini Msumbiji, kamanda wa zamani wa polisi Bernardino Rafael na Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani Pascoal Ronda wamehojiwa siku ya Jumanne, Februari 17, na Mwanasheria Mkuu. Kesi hii ni sehemu ya malalamiko yaliyowasilishwa mwezi Aprili na jukwaa la Decide. Shirika hili la kiraia linawashutumu kwa kuhusika na vifo na ukiukwaji wa haki za binadamu uliotokea wakati wa mgogoro wa baada ya uchaguzi kati ya mwezi Oktoba 2024 na Machi 2025. Hii ni mara ya pili wawili hao kuhojiwa.
2026-02-18 12:14:30

וואס טוסטו?

0.042720079421997


נייַעס
נייַעס

לעצטע נייַעס און כעדליינז
Nchini Msumbiji, kamanda wa zamani wa polisi Bernardino Rafael na Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani Pascoal Ronda wamehojiwa siku ya Jumann...
נייַעס