Kambi ya kijeshi yashambuliwa na kuporwa nchini Mali
Nchini BurkinaFaso, mji wa Titao, ambao hapo awali uliokolewa kutokana na mashambulio ya kigaidi, ulivamiwa na kundi la washambuliaji siku ya Jumamosi, Februari 14, 2026. Walishambulia na kupora kambi ya kijeshi.
2026-02-16 04:25:57