utaina

Slzii.com Saili

Saili (Tala Fou)

Chad: Mfaransa aliyetoweka katika eneo la Amdjarass apatikana amefariki
Mtalii, raia wa Ufaransa, amepatikana amekufa katika oasisi (chemchemi) ya Bachikélé, yapata kilomita 100 kutoka Amdjarass, mji mkuu wa jimbo la Ennedi Mashariki nchini Chad. Mstaafu huyo mwenye umri wa miaka 70, kutoka Dijon, Ufaransa, alitoweka tangu siku ya Jumatano baada ya kuanza safari ya kutembelea oasisi ya Bachikélé akiwa na watalii wengine zaidi ya hamsini waliohudhuria Tamasha la Kimataifa la Tamaduni za Sahara (FICSA).
2026-02-14 07:25:32

O au mea na e fai?

0.040695905685425


Tala Fou
Tala Fou

Tala Fou ma Ulutala Fou
Mtalii, raia wa Ufaransa, amepatikana amekufa katika oasisi (chemchemi) ya Bachikélé, yapata kilomita 100 kutoka Amdjarass, mji mkuu wa ji...
Tala Fou