Loading

Slzii.com Search

Search (News)

Chad: Rais Deby alaani 'mbinu za udanganyifu wa ndani na nje' kufuatia vurugu mashariki

Chad: Rais Deby alaani 'mbinu za udanganyifu wa ndani na nje' kufuatia vurugu mashariki
swahili top politics

Mahamat Idriss Deby aonya dhidi ya "mbinu za udanganyifu wa ndani na nje" zinazolenga kuwagawanya Wachad. Katika mahojiano yaliyofanywa na timu yake ya mawasiliano, Rais wa Chad anajadili ziara yake kuanzia Aprili 28 hadi Mei 2, 2026, katika eneo la Wadi Fira, mashariki mwa nchi, kufuatia vurugu za kijamii zilizosababisha vifo vya watu wasiopungua 42 kulingana na serikali na angalau 60 kulingana na vyanzo vya ndani.
2026-05-04 14:51:22

What are you doing?

0.060421943664551


News
News

Latest News and Headlines
Mahamat Idriss Deby aonya dhidi ya mbinu za udanganyifu wa ndani na nje zinazolenga kuwagawanya Wachad. Katika mahojiano yaliyofanywa na t...
News