Kwa mara ya kwanza baada ya miezi kadhaa, timu ya kibinadamu ya ICRC imefanikiwa kufika eneo la Minembwe katika nyanda za juu za mkoa wa Kivu Kusini, pande zote mbili za mstari wa mbele. Ili kufanikisha hili, walipata makubaliano ya amani ya kibinadamu ya siku chache kutoka kwa pande zinazopigana, na kuruhusu muda kwa msafara kufika, kufanya kazi yake, na kuondoka. Mchango wa awali ulitolewa mishoni mwa wiki hii iliyopita.
2026-05-04 14:34:54