ဒိန်း

Slzii.com ရှာရန်

ရှာရန် (သတင်း)

Cameroon: Mzozo waibuka kuhusu msaada wa chakula kutoka China

Cameroon: Mzozo waibuka kuhusu msaada wa chakula kutoka China
swahili top business

Msaada wa chakula kutoka China, wenye thamani ya faranga za CFA bilioni 1.6 (euro milioni 2.44), umezua utata nchini Cameroon. Msaada huo mkubwa ulitangazwa Aprili 27 wakati wa mkutano kati ya balozi wa China nchini Cameroon na Waziri wa mambo ya Ndani wa Cameroon. Waziri huyo aliusifia kama "ishara ya ubinadamu kutoka nchi rafiki," hisia ambayo haishirikiwi na watu, vikundi, au mashirika ambayo hayako chini ya serikali moja kwa moja, ambao wanaiona zawadi yenye sumu.
2026-05-04 06:53:04

သင်ဘာလုပ်နေပါလဲ?

0.062290906906128


သတင်း
သတင်း

နောက်ဆုံးရသတင်းများနှင့် ခေါင်းစီးသတင်းများ
Msaada wa chakula kutoka China, wenye thamani ya faranga za CFA bilioni 1.6 (euro milioni 2.44), umezua utata nchini Cameroon. Msaada huo mk...
သတင်း