Mali: Je, waasi wa FLA wanaotaka kujitenga ni magaidi?
swahili top politics
Nchini Mali, waasi wanaotaka kujitenga wa Azawad Liberation Front (FLA) wamechapisha taarifa mwishoni mwa wiki wakikataa jina la "gaidi," lililotumiwa si tu na mamlaka ya mpito ya Mali bali pia na wadau kadhaa katika jumuiya ya kimataifa, katika majibu yao ya mashambulizi ya Aprili 25. 2026-05-04 05:51:44
Latest News and Headlines
Nchini Mali, waasi wanaotaka kujitenga wa Azawad Liberation Front (FLA) wamechapisha taarifa mwishoni mwa wiki wakikataa jina la gaidi, li...
News