Wanajeshi wawili wa Marekani watoweka baada ya mazoezi ya kijeshi kusini mwa Morocco
swahili top crime
Nchini Morocco, wanajeshi wawili wa Marekani hawajulikani waliko baada ya kukosekana karibu na mji wa kusini wa Tan-Tan siku ya Jumapili, Mei 3. Walikuwa wakishiriki katika mazoezi ya pamoja ya African Lion 2026. Vikosi vya jeshi wiliwakosa Jumamosi usiku. Washington inahofia kwamba huenda walidondoka katika Bahari ya Atlantiki. 2026-05-04 06:08:18
Latest News and Headlines
Nchini Morocco, wanajeshi wawili wa Marekani hawajulikani waliko baada ya kukosekana karibu na mji wa kusini wa Tan-Tan siku ya Jumapili, Me...
News