Loading

Slzii.com Search

Search (News)

Wanajeshi wawili wa Marekani watoweka baada ya mazoezi ya kijeshi kusini mwa Morocco

Wanajeshi wawili wa Marekani watoweka baada ya mazoezi ya kijeshi kusini mwa Morocco
swahili top crime

Nchini Morocco, wanajeshi wawili wa Marekani hawajulikani waliko baada ya kukosekana karibu na mji wa kusini wa Tan-Tan siku ya Jumapili, Mei 3. Walikuwa wakishiriki katika mazoezi ya pamoja ya African Lion 2026. Vikosi vya jeshi wiliwakosa Jumamosi usiku. Washington inahofia kwamba huenda walidondoka katika Bahari ya Atlantiki.
2026-05-04 06:08:18

What are you doing?

0.063683986663818


News
News

Latest News and Headlines
Nchini Morocco, wanajeshi wawili wa Marekani hawajulikani waliko baada ya kukosekana karibu na mji wa kusini wa Tan-Tan siku ya Jumapili, Me...
News