Waathiriwa wa shambulio hilo, lililotokea siku ya Alhamisi, Aprili 30, katika Jimbo la Niger, magharibi mwa Nigeria, walishutumiwa kuwa watoa taarifa kwa kundi la wanajihadi la Ansaru, ambalo liliibuka kutokana na mgawanyiko ndani ya Boko Haram mwaka wa 2021.
2026-05-04 04:40:01