Chargement

Slzii.com Recherche

Recherche (Nouvelles)

Afrika Kusini: Jeshi lapelekwa katika vitongoji nyeti kupambana na magenge

top

Jeshi la Afrika Kusini limeanza kupeleka wanajeshi katika baadhi ya maeneo ya nchi ili kuwasaidia polisi katika mapambano dhidi ya uhalifu. Hatua hiyo imechukuliwa na rais Cyril Ramaphosa, na zaidi ya wanajeshi 2,000 wamehamasishwa. Hii si mara ya kwanza operesheni kama hiyo kufanyika, lakini wakati huu ni operesheni kubwa, inayolenga kukomesha shughuli za uchimbaji madini haramu na kurejesha utulivu katika vitongoji vinavyodhibitiwa na magenge.
2026-03-16 10:07:12

Que fais-tu?

0.089074850082397


Nouvelles
Nouvelles

Dernières nouvelles et titres
Jeshi la Afrika Kusini limeanza kupeleka wanajeshi katika baadhi ya maeneo ya nchi ili kuwasaidia polisi katika mapambano dhidi ya uhalifu. ...
Nouvelles