Rais Deby aungana na viongozi wa Dar Tama kufuatia vurugu za kikabila mashariki mwa nchi
swahili top crime
Kufuatia vurugu za kikabila zilizosababisha vifo vya watu kadhaa kuanzia Jumamosi hadi Jumatatu—angalau watu 42 kulingana na hesabu rasmi, karibu 60 kulingana na vyanzo vya kuaminika—Rais wa Chad Mahamat Idriss Déby yuko katika eneo la Dar Tama la katika mkoa wa Wadi Fira mashariki mwa Chad tangu Jumanne jioni. Anasisitiza kwamba lengo la serikali ni kulinda mpaka na Sudan na kuwanyang'anya silaha raia. 2026-04-30 06:26:58
Dernières nouvelles et titres
Kufuatia vurugu za kikabila zilizosababisha vifo vya watu kadhaa kuanzia Jumamosi hadi Jumatatu—angalau watu 42 kulingana na hesabu rasmi, k...
Nouvelles