Urusi: Rais wa Kongo Sassou-Nguesso atangaza mikataba ya ushirikiano na Moscow
swahili politics top
Rais wa Urusi Vladimir Putin amempokea mwenzake wa Kongo, Denis Sassou-Nguesso, ambaye alichagua Urusi kwa safari yake ya kwanza nje ya nchi tangu kuchaguliwa kwake tena. Ziara hiyo ilitoa fursa kwa wawili hao kutoa wito wa kuimarishwa kwa ushirikiano wao. 2026-04-30 05:31:01
ताजा समाचार र हेडलाइनहरू
Rais wa Urusi Vladimir Putin amempokea mwenzake wa Kongo, Denis Sassou-Nguesso, ambaye alichagua Urusi kwa safari yake ya kwanza nje ya nchi...
समाचार