RDC: Jacquemain Shabani aponea kura ya kukosa imani naye bungeni
swahili politics top
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya ndani Jacquemain Shabani ameponea kura ya kukosa imani naye bungeni kufuatia mvutano wa uhalali wa saini zilizokusanywa kumtaka aondoke madarakani. 2026-04-30 03:54:52
Dernières nouvelles et titres
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya ndani Jacquemain Shabani ameponea kura ya kukosa imani naye...
Nouvelles