Marekani kuweka masharti ya usafiri kwa maofisa wa serikali ya Pretoria
swahili politics top
Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani Marco Rubio, ametangaza nchi yake inakuja na masharti magumu, kuwalenga maafisa wa juu wa serikali ya Afrika Kusini wanaotaka kusafiri katika nchi hiyo, wakati huu uhusiano wa kidplomasia kati ya mataifa hayo mawili, ukiendelea kuyumba. 2026-09-16 04:05:26
Latest News and Headlines
Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani Marco Rubio, ametangaza nchi yake inakuja na masharti magumu, kuwalenga maafisa wa juu wa serikali ya Afr...
News