Sudan Kusini: Watu 14 wafariki katika ajali ya ndege karibu na Juba
top crime
Nchini Sudan kusini mamlaka ya usafiri wa anga imedhibitisha ndege ndogo ya abiria imeanguka Sudan Kusini na kuua abiria wote waliokuwa ndani, muda mfupi baada ya kupaa kutoka uwanja wa ndege wa Yei ikielekea mji mkuu juba nchini humo. 2026-04-28 03:57:42
최신 뉴스 및 헤드라인
Nchini Sudan kusini mamlaka ya usafiri wa anga imedhibitisha ndege ndogo ya abiria imeanguka Sudan Kusini na kuua abiria wote waliokuwa ndan...
소식