読み込み中

Slzii.com 検索

検索 (ニュース)

Colombia na Venezuela zatangaza ushirikiano wa kijeshi dhidi ya makundi ya mafia

Colombia na Venezuela zatangaza ushirikiano wa kijeshi dhidi ya makundi ya mafia
top politics

Wakati wa ziara ya Gustavo Petro huko Caracas, rais wa Colombia na rais wa mpito wa Venezuela wametangaza siku ya Ijumaa, Aprili 24, ushirikiano kati ya vikosi vyao vya kijeshi na idara za kijasusi kando ya kilomita 2,000 za mpaka wanaoshiriki. Lengo: "kuyaandgamiza makundi ya mafia na magenge ya wahalifu katika eneo hilo."
2026-04-25 06:18:27

何してるの?

0.087059020996094


ニュース
ニュース

最新のニュースとヘッドライン
Wakati wa ziara ya Gustavo Petro huko Caracas, rais wa Colombia na rais wa mpito wa Venezuela wametangaza siku ya Ijumaa, Aprili 24, ushirik...
ニュース