Colombia na Venezuela zatangaza ushirikiano wa kijeshi dhidi ya makundi ya mafia
top politics
Wakati wa ziara ya Gustavo Petro huko Caracas, rais wa Colombia na rais wa mpito wa Venezuela wametangaza siku ya Ijumaa, Aprili 24, ushirikiano kati ya vikosi vyao vya kijeshi na idara za kijasusi kando ya kilomita 2,000 za mpaka wanaoshiriki. Lengo: "kuyaandgamiza makundi ya mafia na magenge ya wahalifu katika eneo hilo." 2026-04-25 06:18:27
最新のニュースとヘッドライン
Wakati wa ziara ya Gustavo Petro huko Caracas, rais wa Colombia na rais wa mpito wa Venezuela wametangaza siku ya Ijumaa, Aprili 24, ushirik...
ニュース