लोड हो रहा है

Slzii.com खोज

खोज (समाचार)

Lebanon: Hezbollah yakataa mazungumzo ya moja kwa moja na Israel na inapinga kupokonywa silaha

Lebanon: Hezbollah yakataa mazungumzo ya moja kwa moja na Israel na inapinga kupokonywa silaha
top politics

Licha ya kuongezwa kwa muda wa wiki tatu wa makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Lebanon yaliyotangazwa na Donald Trump siku ya Alhamisi, Aprili 23, mvutano unaendelea kati ya Israel na Hezbollah, ambayo haionyeshi dalili yoyote ya kulegeza msimamo wake: Kundi hili la wanamgambo wa Kishia linalounga mkono Iran linaendelea kupinga mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Beirut na Tel Aviv na kukataa kuweka chini silaha zake.
2026-04-25 05:10:38

आप क्या कर रहे हो?

0.10394215583801


समाचार
समाचार

नवीनतम समाचार और सुर्खियाँ
Licha ya kuongezwa kwa muda wa wiki tatu wa makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Lebanon yaliyotangazwa na Donald Trump siku ...
समाचार