DRC: Tishio la ADF linaenea hadi maeneo mapya, wakati mauaji na utekaji nyara vikiongezeka
entertainment top
Mashariki mwa DRC, hali ya usalama inaendelea kuzorota katika maeneo yanayodhibitiwa na waasi wa Uganda wa ADF, kundi lenye silaha ambalo lilitangaza kujiunga na kundi la Islamic State. Kivu Security Tracker (KST), taasisi ya utafiti inayofuatilia matukio ya usalama katika eneo hilo, inaripoti ongezeko la visa vya utekaji nyara kwa kiwango kisicho cha kawaida na upanuzi wa tishio hilo katika mkoa mpya. 2026-04-22 05:42:58
Hawar Karǝngǝbe-a kuru Headlines-a
Mashariki mwa DRC, hali ya usalama inaendelea kuzorota katika maeneo yanayodhibitiwa na waasi wa Uganda wa ADF, kundi lenye silaha ambalo li...
Hawar