Inapakia
x
Tovuti hii hutumia vidakuzi muhimu. Kwa idhini yako, tunaweka vidakuzi vya Google Analytics kwa takwimu.

Sera ya Vidakuzi kwa Slzii.com

Hii ni Sera ya Vidakuzi kwa Slzii.com, accessible from slzii.com

What Are Cookies

As is common practice with almost all professional websites this site uses cookies, which are tiny files that are downloaded to your computer, to improve your experience. This page describes what information they gather, how we use it and why we sometimes need to store these cookies. We will also share how you can prevent these cookies from being stored however this may downgrade or 'break' certain elements of the sites functionality.

How We Use Cookies

We use cookies for a variety of reasons detailed below. Unfortunately in most cases there are no industry standard options for disabling cookies without completely disabling the functionality and features they add to this site. It is recommended that you leave on all cookies if you are not sure whether you need them or not in case they are used to provide a service that you use.

Disabling Cookies

You can prevent the setting of cookies by adjusting the settings on your browser (see your browser Help for how to do this). Be aware that disabling cookies will affect the functionality of this and many other websites that you visit. Disabling cookies will usually result in also disabling certain functionality and features of the this site. Therefore it is recommended that you do not disable cookies. This Cookies Policy was created with the help of the Cookies Policy Generator.

The Cookies We Set

  • Account related cookies

    If you create an account with us then we will use cookies for the management of the signup process and general administration. These cookies will usually be deleted when you log out however in some cases they may remain afterwards to remember your site preferences when logged out.

  • Login related cookies

    We use cookies when you are logged in so that we can remember this fact. This prevents you from having to log in every single time you visit a new page. These cookies are typically removed or cleared when you log out to ensure that you can only access restricted features and areas when logged in.

  • Site preferences cookies

    In order to provide you with a great experience on this site we provide the functionality to set your preferences for how this site runs when you use it. In order to remember your preferences we need to set cookies so that this information can be called whenever you interact with a page is affected by your preferences.

Third Party Cookies

In some special cases we also use cookies provided by trusted third parties. The following section details which third party cookies you might encounter through this site.

  • This site uses Google Analytics which is one of the most widespread and trusted analytics solution on the web for helping us to understand how you use the site and ways that we can improve your experience. These cookies may track things such as how long you spend on the site and the pages that you visit so we can continue to produce engaging content.

    For more information on Google Analytics cookies, see the official Google Analytics page.

  • Third party analytics are used to track and measure usage of this site so that we can continue to produce engaging content. These cookies may track things such as how long you spend on the site or pages you visit which helps us to understand how we can improve the site for you.

  • From time to time we test new features and make subtle changes to the way that the site is delivered. When we are still testing new features these cookies may be used to ensure that you receive a consistent experience whilst on the site whilst ensuring we understand which optimisations our users appreciate the most.

  • We also use social media buttons and/or plugins on this site that allow you to connect with your social network in various ways. For these to work the following social media sites including; {List the social networks whose features you have integrated with your site?:12}, will set cookies through our site which may be used to enhance your profile on their site or contribute to the data they hold for various purposes outlined in their respective privacy policies.

More Information

Hopefully that has clarified things for you and as was previously mentioned if there is something that you aren't sure whether you need or not it's usually safer to leave cookies enabled in case it does interact with one of the features you use on our site.

For more general information on cookies, please read the Cookies Policy article.

However if you are still looking for more information then you can contact us through one of our preferred contact methods:

  • By visiting this link: https://www.slzii.com/contact

Tafuta (Habari)

Mwelekeo ni upi ODM? Kundi la Linda Mwananchi lakabili Linda Ground
MVUTANO ndani ya Chama cha ODM sasa umeingia katika awamu mpya baada ya kuzinduliwa kwa mpango wa Linda Mwananchi, unaotajwa waziwazi kama jibu la kisiasa kwa mikutano ya Linda Ground inayoendelea kufanyika katika maeneo mbalimbali ya nchi.Hatua hii imeweka wazi mgawanyiko mkubwa ndani ya chama, huku kambi pinzani zikikabiliana kuhusu mwelekeo wa ODM, uwazi wa kifedha na uhusiano wake na serikali ya Kenya Kwanza kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2027.Mpango wa Linda Mwananchi unaongozwa na Katibu Mkuu wa ODM na Seneta wa Nairobi, Edwin Sifuna, pamoja na wabunge na maseneta wanaopinga muungano wa ODM na United Democratic Alliance (UDA).Ziara hiyo ya kisiasa inatarajiwa kuanza rasmi Busia mnamo Februari 8, na inalenga kuhamasisha wananchi mashinani kuhusu masuala ya gharama ya maisha, uwajibikaji wa serikali, haki za raia na nafasi ya ODM kama chama cha upinzani.Ingawa wanaotarajiwa kuhudhuria mkutano wa leo wote si wanachama wa ODM, kuibuka kwa Linda Mwananchi kunajiri wakati ambapo mikutano ya Linda Ground, inayohusishwa na kambi inayoongozwa na Seneta wa Siaya Oburu Odinga, imekuwa ikiendelea kwa kasi.Mikutano hiyo inalenga kukusanya maoni ya wanachama wa ODM kuhusu uamuzi wa Kamati Kuu ya Usimamizi wa chama kuingia katika makubaliano ya kisiasa na UDA kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027.Mkutano huo unafanyika wiki chache baada ya ule wa Linda Ground, kuonyesha tofauti zinazoendelea kupanuka katika chama hicho.Hata hivyo, kile kilichoanza kama mjadala wa sera sasa kimegeuka kuwa mzozo wa wazi, hasa baada ya Sifuna kudai hadharani kuwa chama cha ODM hakijatumia hata shilingi moja kufadhili mikutano ya Linda Ground, licha ya gharama kubwa inayoonekana kutumika.“Ninaweza kusema kwa mamlaka kamili kuwa fedha mnazoziona zikitumika katika mikutano hiyo hazitoki makao makuu ya ODM,” alisema Sifuna katika mahojiano ya televisheni.“Mimi ni mtia saini wa akaunti za chama. Fedha ya mwisho tuliyotumia rasmi ilikuwa sherehe za miaka 20 ya ODM Mombasa, na ilikuwa kiasi kidogo sana ikilinganisha na kile kinachoendelea sasa.”Kauli hizo ziliibua hasira kutoka kwa baadhi ya wanachama wa ODM waliomlaumu Sifuna kwa kusaliti chama na kuonekana kupinga uongozi.Lakini mashambulizi hayo yamekabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa Mbunge wa Wanawake wa Kisumu, Ruth Odinga, dada wa marehemu Raila Odinga.Kupitia mtandao wa Facebook, Ruth aliwataka wanachama wa ODM waache kushambulia Sifuna na badala yake wajibu maswali anayouliza.“Ikiwa Katibu Mkuu wa chama anauliza pesa za helikopta, mahema makubwa, fulana na kofia za ODM kwenye mikutano ya Linda Ground zinatoka wapi, ni kosa gani hilo?” alihoji Ruth.“Amekiri hadharani kuwa ODM haijatumia hata senti moja. Wenye majibu, kwa nini hamjitokezi?”Ruth alihoji ikiwa ni magavana, wabunge au wafadhili wasiojulikana wanaofadhili mikutano hiyo, na kama kuna maslahi ya kisiasa au kiuchumi yanayofuatwa kwa siri. Alionya kuwa chama kinapozima mjadala wa ndani na kuwatisha wanaouliza maswali, kinajitenga na misingi ya demokrasia ambayo ODM ilijengwa.Mbali na suala la fedha, Ruth pia aliibua swali la uaminifu wa makubaliano ya kisiasa na Rais Ruto, akisema ikiwa MoU ya sasa haijaheshimiwa na muda uko karibu kuisha, hakuna msingi wa kuamini ahadi nyingine za kisiasa.“Ikiwa Rais hakuheshimu makubaliano aliyotia saini na Raila Odinga, ni nini kinachowafanya muamini ataheshimu makubaliano ya kabla ya uchaguzi?” aliuliza.Kwa upande wa Linda Mwananchi, msimamo wao ni kwamba ODM haipaswi kuingia katika muungano wa kudumu na serikali, bali ibaki kuwa sauti ya wananchi wanaokabiliwa na gharama ya juu ya maisha, ushuru mzito na ukosefu wa ajira.Miongoni mwa viongozi wanaotarajiwa kushiriki ziara hiyo ni Maseneta Richard Onyonka (Kisii), Godfrey Osotsi (Vihiga) na Erick Okong’o Mogeni (Nyamira), pamoja na wabunge kama Babu Owino, Caleb Amisi, Wanami Wamboka, Patrick Makau na Joshua Kimilu.Kwa upande mwingine, viongozi wanaounga mkono Linda Ground wanasema mikutano hiyo inalenga umoja wa chama na utulivu wa kisiasa, wakisisitiza kuwa mazungumzo na serikali ni muhimu kwa maslahi ya taifa.Hata hivyo, Naibu Kiongozi wa ODM Godfrey Osotsi amelalamika kuwa hakuhusishwa katika maandalizi ya baadhi ya mikutano hiyo licha ya wadhifa wake wa juu, ishara nyingine ya mgawanyiko uliopo.Kulingana na wachambuzi wa siasa, kuibuka kwa Linda Mwananchi dhidi ya Linda Ground kunaashiria zaidi ya tofauti za kimtazamo na ni mapambano ya hatima ya chama, nafasi yake katika siasa za kitaifa, na uhusiano wake na wananchi kuelekea 2027.
2026-02-08 03:55:39

0.04312801361084


Habari
Mwelekeo ni upi ODM? Kundi la Linda Mwananchi lakabili Linda Ground

Habari
MVUTANO ndani ya Chama cha ODM sasa umeingia katika awamu mpya baada ya kuzinduliwa kwa mpango wa Linda Mwananchi, unaotajwa waziwazi kama jibu la kisiasa kwa mikutano ya Linda Ground inayoendelea kufanyika katika maeneo mbalimbali ya nchi.Hatua hii imeweka wazi mgawanyiko mkubwa ndani ya chama, huku kambi pinzani zikikabiliana kuhusu mwelekeo wa ODM, uwazi wa kifedha na uhusiano wake na serikali ya Kenya Kwanza kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2027.Mpango wa Linda Mwananchi unaongozwa na Katibu Mkuu wa ODM na Seneta wa Nairobi, Edwin Sifuna, pamoja na wabunge na maseneta wanaopinga muungano wa ODM na United Democratic Alliance (UDA).Ziara hiyo ya kisiasa inatarajiwa kuanza rasmi Busia mnamo Februari 8, na inalenga kuhamasisha wananchi mashinani kuhusu masuala ya gharama ya maisha, uwajibikaji wa serikali, haki za raia na nafasi ya ODM kama chama cha upinzani.Ingawa wanaotarajiwa kuhudhuria mkutano wa leo wote si wanachama wa ODM, kuibuka kwa Linda Mwananchi kunajiri wakati ambapo mikutano ya Linda Ground, inayohusishwa na kambi inayoongozwa na Seneta wa Siaya Oburu Odinga, imekuwa ikiendelea kwa kasi.Mikutano hiyo inalenga kukusanya maoni ya wanachama wa ODM kuhusu uamuzi wa Kamati Kuu ya Usimamizi wa chama kuingia katika makubaliano ya kisiasa na UDA kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027.Mkutano huo unafanyika wiki chache baada ya ule wa Linda Ground, kuonyesha tofauti zinazoendelea kupanuka katika chama hicho.Hata hivyo, kile kilichoanza kama mjadala wa sera sasa kimegeuka kuwa mzozo wa wazi, hasa baada ya Sifuna kudai hadharani kuwa chama cha ODM hakijatumia hata shilingi moja kufadhili mikutano ya Linda Ground, licha ya gharama kubwa inayoonekana kutumika.“Ninaweza kusema kwa mamlaka kamili kuwa fedha mnazoziona zikitumika katika mikutano hiyo hazitoki makao makuu ya ODM,” alisema Sifuna katika mahojiano ya televisheni.“Mimi ni mtia saini wa akaunti za chama. Fedha ya mwisho tuliyotumia rasmi ilikuwa sherehe za miaka 20 ya ODM Mombasa, na ilikuwa kiasi kidogo sana ikilinganisha na kile kinachoendelea sasa.”Kauli hizo ziliibua hasira kutoka kwa baadhi ya wanachama wa ODM waliomlaumu Sifuna kwa kusaliti chama na kuonekana kupinga uongozi.Lakini mashambulizi hayo yamekabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa Mbunge wa Wanawake wa Kisumu, Ruth Odinga, dada wa marehemu Raila Odinga.Kupitia mtandao wa Facebook, Ruth aliwataka wanachama wa ODM waache kushambulia Sifuna na badala yake wajibu maswali anayouliza.“Ikiwa Katibu Mkuu wa chama anauliza pesa za helikopta, mahema makubwa, fulana na kofia za ODM kwenye mikutano ya Linda Ground zinatoka wapi, ni kosa gani hilo?” alihoji Ruth.“Amekiri hadharani kuwa ODM haijatumia hata senti moja. Wenye majibu, kwa nini hamjitokezi?”Ruth alihoji ikiwa ni magavana, wabunge au wafadhili wasiojulikana wanaofadhili mikutano hiyo, na kama kuna maslahi ya kisiasa au kiuchumi yanayofuatwa kwa siri. Alionya kuwa chama kinapozima mjadala wa ndani na kuwatisha wanaouliza maswali, kinajitenga na misingi ya demokrasia ambayo ODM ilijengwa.Mbali na suala la fedha, Ruth pia aliibua swali la uaminifu wa makubaliano ya kisiasa na Rais Ruto, akisema ikiwa MoU ya sasa haijaheshimiwa na muda uko karibu kuisha, hakuna msingi wa kuamini ahadi nyingine za kisiasa.“Ikiwa Rais hakuheshimu makubaliano aliyotia saini na Raila Odinga, ni nini kinachowafanya muamini ataheshimu makubaliano ya kabla ya uchaguzi?” aliuliza.Kwa upande wa Linda Mwananchi, msimamo wao ni kwamba ODM haipaswi kuingia katika muungano wa kudumu na serikali, bali ibaki kuwa sauti ya wananchi wanaokabiliwa na gharama ya juu ya maisha, ushuru mzito na ukosefu wa ajira.Miongoni mwa viongozi wanaotarajiwa kushiriki ziara hiyo ni Maseneta Richard Onyonka (Kisii), Godfrey Osotsi (Vihiga) na Erick Okong’o Mogeni (Nyamira), pamoja na wabunge kama Babu Owino, Caleb Amisi, Wanami Wamboka, Patrick Makau na Joshua Kimilu.Kwa upande mwingine, viongozi wanaounga mkono Linda Ground wanasema mikutano hiyo inalenga umoja wa chama na utulivu wa kisiasa, wakisisitiza kuwa mazungumzo na serikali ni muhimu kwa maslahi ya taifa.Hata hivyo, Naibu Kiongozi wa ODM Godfrey Osotsi amelalamika kuwa hakuhusishwa katika maandalizi ya baadhi ya mikutano hiyo licha ya wadhifa wake wa juu, ishara nyingine ya mgawanyiko uliopo.Kulingana na wachambuzi wa siasa, kuibuka kwa Linda Mwananchi dhidi ya Linda Ground kunaashiria zaidi ya tofauti za kimtazamo na ni mapambano ya hatima ya chama, nafasi yake katika siasa za kitaifa, na uhusiano wake na wananchi kuelekea 2027.
Habari