Mashariki ya Kati: Hali ikoje sasa baada ya wiki saba za vita?
top
Wiki saba zilizopita, Marekani na Israel zilitekeleza mashambulizi dhidi ya Iran. Vita hivi vilienea haraka katika eneo lote. Lakini katika saa chache tu siku ya Ijumaa Aprili 17, hali katika Mashariki ya Kati ilibadilika sana kutokana na utekelezaji wa kusitisha mapigano nchini Lebanon na kutangazwa kwa kufunguliwa tena kwa Mlango-Bahari wa Hormuz. Kuhusu mashambulizi ya angani ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, yalikuwa tayari yamemalizika kwa makubaliano ya usitishaji mapigano Aprili 8. 2026-04-18 05:21:57
Dernières nouvelles et titres
Wiki saba zilizopita, Marekani na Israel zilitekeleza mashambulizi dhidi ya Iran. Vita hivi vilienea haraka katika eneo lote. Lakini katika ...
Nouvelles