Mashariki ya Kati: Lebanon yaishutumu Israel kwa kukiuka makubaliano mapya ya kusitisha mapigano
top crime
Makubaliano ya kusitisha mapigano ya siku kumi kati ya Israel na Lebanon yameanza kutekelezwasiku ya Alhamisi, Aprili 16, 2026, saa 3:00 usiku, baada ya kutangazwa na Rais wa Marekani Donald Trump. Lakini yalikuwa hayajathibitishwa wakati jeshi la Lebanon liliposhtumu ukiukwaji wa usitishaji mapigano kutoka upande wa Israel kusini mwa nchi. 2026-04-17 05:47:59
Latest News and Headlines
Makubaliano ya kusitisha mapigano ya siku kumi kati ya Israel na Lebanon yameanza kutekelezwasiku ya Alhamisi, Aprili 16, 2026, saa 3:00 usi...
News