RDC: Marekani na Qatar zapongeza hatua ya wafungwa 15 kutoka M23 kuachiwa
swahili crime top
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, baada ya wafungwa 15 kutoka kundi la waasi la AFC/M23 kuachiwa huru wiki iliyopita, hatua hiyo imepongezwa na Qatar na Marekani, kama ishara inayojenga uaminifu kati ya serikali na waasi hao kuhusu utekelezwaji wa maelewano ya kusitisha vita. 2026-08-10 14:26:50
Tindzaba Letisembili
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, baada ya wafungwa 15 kutoka kundi la waasi la AFC/M23 kuachiwa huru wiki iliyopita, hatua hiyo imep...
Tindzaba