Kiongozi wa serikali ya kijeshi nchini Guinea-Bissau anazuru Chad
swahili politics top
Kiongozi wa kijeshi nchini Guinea-Bissau Jenerali Horta N'Tam anazuru Chad, ikiwa ni ziara yake ya kwanza nje ya nchi, miezi minane baada ya kuchukua Madaraka. 2026-08-10 14:48:15
Tindzaba Letisembili
Kiongozi wa kijeshi nchini Guinea-Bissau Jenerali Horta N'Tam anazuru Chad, ikiwa ni ziara yake ya kwanza nje ya nchi, miezi minane baada ya...
Tindzaba