China yatetea uratibu ulioimarishwa na Korea Kaskazini kuhusu masuala ya kimataifa
top lifestyle
Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi amekutana na Kim Jong-un huko Korea Kaskazini siku ya Ijumaa, Aprili 10. Mkutano huu unaonyesha uhusiano kati ya washirika hao wawili wa kihistoria ulioanza mwezi Septemba. Korea Kaskazini, iliyohusika waziwazi katika vita vya Ukraine pamoja na Moscow, ilikuwa imeweka kipaumbele uhusiano wake na Urusi kwa gharama ya China. Lakini sasa, Beijing na Pyongyang zinasema zinataka kuratibu masuala ya kimataifa. 2026-04-11 06:35:45
Hawar Karǝngǝbe-a kuru Headlines-a
Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi amekutana na Kim Jong-un huko Korea Kaskazini siku ya Ijumaa, Aprili 10. Mkutano huu unaonyesha uhus...
Hawar