Loading

Slzii.com Bara

Bara (Hawar)

China yatetea uratibu ulioimarishwa na Korea Kaskazini kuhusu masuala ya kimataifa

China yatetea uratibu ulioimarishwa na Korea Kaskazini kuhusu masuala ya kimataifa
top lifestyle

Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi amekutana na Kim Jong-un huko Korea Kaskazini siku ya Ijumaa, Aprili 10. Mkutano huu unaonyesha uhusiano kati ya washirika hao wawili wa kihistoria ulioanza mwezi Septemba. Korea Kaskazini, iliyohusika waziwazi katika vita vya Ukraine pamoja na Moscow, ilikuwa imeweka kipaumbele uhusiano wake na Urusi kwa gharama ya China. Lakini sasa, Beijing na Pyongyang zinasema zinataka kuratibu masuala ya kimataifa.
2026-04-11 06:35:45

Abi dimin?

0.082061052322388


Hawar
Hawar

Hawar Karǝngǝbe-a kuru Headlines-a
Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi amekutana na Kim Jong-un huko Korea Kaskazini siku ya Ijumaa, Aprili 10. Mkutano huu unaonyesha uhus...
Hawar