පැටවීම

Slzii.com සෙවීම

සෙවීම (පුවත්)

DRC: Zoezi la kukabidhi serikali wanajeshi wa FARDC wanaoshikiliwa na AFC/M23 limekwama

DRC: Zoezi la kukabidhi serikali wanajeshi wa FARDC wanaoshikiliwa na AFC/M23 limekwama
sports top

Imekuwa mwezi mmoja tangu AFC/M23 itangaze kuachiliwa kwa takriban wanajeshi 5,000 wa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (FARDC), kulingana na takwimu zake, au 2,700 kulingana na vyanzo vingine. Wangekabidhiwa kwa Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu na kisha kwa serikali ya Kongo. Lakini tangu tangazo hilo litolewe, hakujawa na maendeleo yoyote.
2026-04-09 05:05:04

ඔයා කරන්නේ කුමක් ද?

0.099338054656982


පුවත්
පුවත්

නවතම පුවත් සහ සිරස්තල
Imekuwa mwezi mmoja tangu AFC/M23 itangaze kuachiliwa kwa takriban wanajeshi 5,000 wa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (FARDC), kul...
පුවත්