ምጽዓን እዩ።

Slzii.com ምድላይ

ምድላይ (ዜና)

Nigeria: Jeshi latangaza kuwaokoa mateka Kaskazini Magharibi, mashirika ya kiraia yakanusha

Nigeria: Jeshi latangaza kuwaokoa mateka Kaskazini Magharibi, mashirika ya kiraia yakanusha
top

Jeshi la Nigeria limetangaza Jumapili, Aprili 5, kwamba liliwaokoa waumini 31 waliotekwa nyara wakati wa sherehe za Pasaka katika kijiji cha Ariko, katika Jimbo la Kaduna, kaskazini magharibi mwa Nigeria. Watu watano waliuawa katika shambulio hilo, licha ya uwepo mkubwa wa vikosi vya usalama karibu na makanisa wakati wa sikukuu hiyo. Hata hivyo, wanakijiji na viongozi wa kidini wanapinga kauli ya jeshi.
2026-04-09 05:18:38

እንታይ ትገብር አለኻ፧

0.13896799087524


ዜና
ዜና

እዋናዊ ዜናን ኣርእስታትን
Jeshi la Nigeria limetangaza Jumapili, Aprili 5, kwamba liliwaokoa waumini 31 waliotekwa nyara wakati wa sherehe za Pasaka katika kijiji cha...
ዜና