Burkina Faso: Jeshi latupilia mbali madai ya HRW kuhusu mauaji ya raia
top lifestyle
Serikali ya kijeshi nchini Burkina Faso, imetupilia mbali ripoti ya Shirika la Kimataifa la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch, kuwa zaidi ya raia 1,800 wameuawa katika visa vya uhalifu wa kivita, katika kipindi cha miaka mitatu cha uongozi wa nchi hiyo chini ya Kaptain Ibrahim Traore. 2026-04-06 13:57:52
Últimas noticias y titulares
Serikali ya kijeshi nchini Burkina Faso, imetupilia mbali ripoti ya Shirika la Kimataifa la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch, ...
Noticias