Marekani imeishambulia Iran kujibu shambulio dhidi ya meli katika Mlango-Bahari wa Hormuz
swahili top politics
Marekani imetangaza siku ya Ijumaa, Juni 26, 2026, kwamba ilifanya mashambulizi nchini Iran kujibu shambulio dhidi ya meli ya biashara katika Mlango-Bahari wa Hormuz. Walinzi wa Mapinduzi ya Iran wanadai kuwa wameshambulia ngome za kijeshi za Marekani katika eneo la Ghuba kwa kulipiza kisasi. 2026-06-27 07:11:52
Dernières nouvelles et titres
Marekani imetangaza siku ya Ijumaa, Juni 26, 2026, kwamba ilifanya mashambulizi nchini Iran kujibu shambulio dhidi ya meli ya biashara katik...
Nouvelles