Matetemeko mawili ya ardhi yaliyoikumba Venezuela siku ya Jumatano, Juni 24, yaligharimu maisha ya watu wasiopungua 920, kulingana na takwimu rasmi za hivi karibuni. Mkuu wa masuala ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa anaripoti zaidi ya watu 50,000 hawajulikani walipo. Wakati shughuli ya kuwatafuta manusura nchini ya vifusi likiendelea, hatu za serikali ya Venezuela zinakosolewa.
2026-06-27 06:29:12