Tukio la kushangaza lilitokea kati ya wajumbe wa Rwanda na Kongo siku Jumanne, Machi 24, katika hoteli huko Washington, D.C., ambapo Mke wa rais wa Kongo, Denise Nyakeru Tshisekedi, alifikia. Uvumi wa "jaribio la mauaji" ulienea haraka mtandaoni nchini DRC. Ubalozi wa Rwanda nchini Marekani unakanusha madai haya.
2026-03-26 06:52:30