تحميل

Slzii.com يبحث

يبحث (أخبار)

Sudan yaishutumu Ethiopia kwa kuunga mkono wanajeshi wa RSF katika Jimbo la Blue Nile

sports top

Nchini Sudan, wanamgambo wa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) wametangaza mnamo Machi 24 kwamba wameuteka mji wa al-Kurmuk katika Jimbo la Blue Nile, kusini mashariki mwa nchi, kwenye mpaka na Ethiopia. Wanaungwa mkono na Harakati ya Ukombozi wa Watu wa Sudan-Kaskazini (SPLP-N), kundi la waasi linaloongozwa na Abdelaziz el-Hilu.
2026-03-26 06:28:37

ماذا تفعل؟

0.10603594779968


أخبار
أخبار

آخر الأخبار والعناوين
Nchini Sudan, wanamgambo wa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) wametangaza mnamo Machi 24 kwamba wameuteka mji wa al-Kurmuk katika Jimbo la B...
أخبار