Loading

Slzii.com Search

Search (News)

Sudan kusini yamteua mtu aliyefariki miaka mitano iliyopoita kwa maaandalizi ya chaguzi zijao

top

Mtu aliyefariki miaka mitano iliyopita ameteuliwa katika kamati iliyopewa jukumu la kuandaa uchaguzi nchini Sudan Kusini, na kusababisha kejeli nyingi kwenye mitandao ya kijamii na kuilazimisha serikali kuomba radhi. Rais Salva Kiir alimfukuza kazi katibu wake wa habari na mkurugenzi mkuu kwenye Wizara ya Mambo ya Nje. Familia ya marehemu inadai "fidia ya kimaadili na kitamaduni."
2026-02-05 15:44:12

What are you doing?

0.079292058944702


News
News

Latest News and Headlines
Mtu aliyefariki miaka mitano iliyopita ameteuliwa katika kamati iliyopewa jukumu la kuandaa uchaguzi nchini Sudan Kusini, na kusababisha kej...
News