Mwishoni mwa juma kiungo wa timuj ya taifa ya Senegal na klabu ya Everton ya Uingereza, Idrissa Gueye, amesema nchi yake ilistahili kutawazwa mabingwa wa kombe la mataifa ya Afrika nchini Morocco, na kwamba yuko tayari kurejesha medali yake ikiwa itasaidia kutuliza joto baina ya mataifa hayo mawili.
2026-03-23 04:35:40