Tunisia: Mwanaharakati wa haki za binadamu ahukumiwa jela miaka 25
swahili top politics
Mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu nchini Tunisia, Sihem Bensedrine, amehukumiwa kifungo cha miaka 25 jela, kwa mashtaka ikiwemo kughushi sehemu ya ripoti ya mwisho ya tume ya mpito ya haki IVD iliochapishwa 2020, hata hivyo anapanga kukata rufaa dhidi ya uamuzi huo. 2026-06-26 14:16:37
最新新聞和頭條新聞
Mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu nchini Tunisia, Sihem Bensedrine, amehukumiwa kifungo cha miaka 25 jela, kwa mashtaka ikiwemo kugh...
消息