Shambulio hilo, lililotekelezwa jioni ya Jumatano, Machi 18, huko Tiné, mji ulioko mashariki mwa Chad kwenye mpaka na Sudan, linahusishwa na ndege isiyo na rubani ya Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) ambao wanapigana na jeshi la Sudan tangu mwezi Aprili 2023. Kufuatia mkutano wa baraza la ulinzi na usalama uliofanyika usiku, Rais wa Chad Mahamat Idriss Déby aliagiza jeshi la Chad "kulipiza kisasi dhidi ya shambulio lolote linalotoka Sudan."
2026-03-19 09:08:48