RDC: HRW yaalani uchafuzi wa mazingira unaosababishwa na kampuni za mafuta
swahili politics top
Shirika la Human Rights Watch limeonya kuwa shughuli za kampuni ya mafuta ya Perenco Magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zinasababisha uchafuzi wa mazingira unaoweka afya ya maelfu ya wakazi katika hatari kubwa katika mkoa wa Kongo Central. 2026-07-27 15:13:43
آخر الأخبار والعناوين
Shirika la Human Rights Watch limeonya kuwa shughuli za kampuni ya mafuta ya Perenco Magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zinasaba...
أخبار