Loading

Slzii.com Search

Search (News)

Marekani: Mahakama Kuu yaidhinisha kufutwa kwa sheria ya ulinzi wa muda kwa wakimbizi wa Haiti

Marekani: Mahakama Kuu yaidhinisha kufutwa kwa sheria ya ulinzi wa muda kwa wakimbizi wa Haiti
Rfi swahili top politics

Mahakama Kuu ya Marekani siku ya Alhamisi, Juni 25, 2026, imeipa ushindi utawala wa Trump, ikiidhinisha kufuta Hadhi ya Muda ya Ulinzi (TPS), hadhi iliyoruhusu zaidi ya raia 350,000 wa Haiti kuishi kihalali nchini Marekani. Watu hawa sasa wako chini ya usimamizi wa Mamalaka ya Uhamiaji na Utekelezaji wa Forodha (ICE), ambayo inaweza kuwafukuza hadi Haiti wakati wowote.
2026-06-26 06:56:03

What are you doing?

0.023642778396606


News
News

Latest News and Headlines
Mahakama Kuu ya Marekani siku ya Alhamisi, Juni 25, 2026, imeipa ushindi utawala wa Trump, ikiidhinisha kufuta Hadhi ya Muda ya Ulinzi (TPS)...
News