Ingawa imejikita sana katika vita vya Iran, Marekani inataka kuanzisha tena mazungumzo kuhusu mgogoro kati ya Rwanda na DRC. Ili kuwarudisha kwenye meza ya mazungumzo viongozi wa nchi hizo mbili, ambao misimamo yao imeendelea kutofautiana, mikutano kadhaa imeitishwa Washington katika siku za hivi karibuni, huku maandalizi yakiendelea kwa mkutano wa pande tatu uliopangwa kufanyika Jumatano, Machi 18.
2026-03-18 04:09:55