Лоадинг

Slzii.com Претрага

Претрага (Вести)

DRC-Rwanda: Washington yataka kuanzisha tena mazungumzo kati ya Kinshasa na Kigali

top

Ingawa imejikita sana katika vita vya Iran, Marekani inataka kuanzisha tena mazungumzo kuhusu mgogoro kati ya Rwanda na DRC. Ili kuwarudisha kwenye meza ya mazungumzo viongozi wa nchi hizo mbili, ambao misimamo yao imeendelea kutofautiana, mikutano kadhaa imeitishwa Washington katika siku za hivi karibuni, huku maandalizi yakiendelea kwa mkutano wa pande tatu uliopangwa kufanyika Jumatano, Machi 18.
2026-03-18 04:09:55

шта то радиш?

0.077883958816528


Вести
Вести

Најновије вести и наслови
Ingawa imejikita sana katika vita vya Iran, Marekani inataka kuanzisha tena mazungumzo kuhusu mgogoro kati ya Rwanda na DRC. Ili kuwarudisha...
Вести